Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Mambo ya Siku 8:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 muji wa Balati, na miji yake yote ya kuwekea magari yake ya vita na ya waaskari wapanda-farasi wake, na kitu chochote alichotaka kujenga katika Yerusalema, Lebanoni au nafasi ingine katika ufalme wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Mambo ya Siku 8:6
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuja, muchumba wangu, tuondoke Lebanoni, na tuiache mbali milima ya Lebanoni. Shuka toka kilele cha mulima Amana, toka kilele cha Seniri na Hermoni, toka mashimo ya simba, toka kwenye milima ya chui.


Nilifanya mambo makubwa: nilijenga nyumba na kujilimia mashamba ya mizabibu.


Kwa hiyo Yosafati akaendelea kuwa mukubwa zaidi. Akajenga makimbilio na miji ya hazina.


na kuujenga muji wa Tadimori katika jangwa. Alijenga upya miji ya gala iliyokuwa kule Hamati.


Solomono alikusanya magari ya vita na waaskari wapanda-farasi; alikuwa na magari ya vita elfu moja na mia ine, na waaskari wapanda-farasi elfu kumi na mbili. Aliwaweka katika miji yenye vituo vya magari ya vita na kwake katika Yerusalema.


Solomono alikusanya magari ya vita na waaskari wapanda-farasi. Alikuwa na magari ya vita elfu moja na mia ine na waaskari wapanda-farasi elfu kumi na mbili ambao aliwaweka katika miji yenye vituo vya magari ya vita, na kule Yerusalema.


Kisha, akajenga jengo lililoitwa Nyumba ya pori ya Lebanoni. Urefu wake ulikuwa metre makumi ine na ine na nusu, upana wake metre makumi mbili na mbili na sentimetre makumi mbili na tano, na urefu wake wa kwenda juu metre kumi na tatu na nusu. Ilikuwa imejengwa juu ya mistari mitatu ya nguzo za mierezi, nguzo ambazo zilishikilia boriti za mierezi kwa upande wa juu.


Mufalme Solomono alipomaliza kujenga nyumba ya Yawe na nyumba ya kifalme na majengo mengine yote aliyokusudia kujenga,


Vilevile, Solomono akajenga miji hii: Beti-Horoni wa juu, na Beti-Horoni wa chini, miji yenye minara ya kufichamia, kuta, milango na vifungio,


Watu wengine wote waliobaki kati ya Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, ni kusema wote ambao hawakukuwa Waisraeli,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ