2 Mambo ya Siku 8:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 muji wa Balati, na miji yake yote ya kuwekea magari yake ya vita na ya waaskari wapanda-farasi wake, na kitu chochote alichotaka kujenga katika Yerusalema, Lebanoni au nafasi ingine katika ufalme wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kisha, akajenga jengo lililoitwa Nyumba ya pori ya Lebanoni. Urefu wake ulikuwa metre makumi ine na ine na nusu, upana wake metre makumi mbili na mbili na sentimetre makumi mbili na tano, na urefu wake wa kwenda juu metre kumi na tatu na nusu. Ilikuwa imejengwa juu ya mistari mitatu ya nguzo za mierezi, nguzo ambazo zilishikilia boriti za mierezi kwa upande wa juu.