2 Solomono akajenga upya miji aliyopewa na Hiramu, halafu akawapa Waisraeli miji hiyo waishi mule.
Rehoboamu alikaa Yerusalema na akajenga kuta kwa kuimarisha miji hii iliyokuwa katika inchi ya Yuda:
Kisha miaka makumi mbili, ambayo Solomono alipitisha kwa kujenga nyumba ya Yawe na nyumba ya kifalme,
Nyuma ya pale Solomono akaenda katika muji wa Hamati-Soba na kuuteka,