4 Kisha mufalme Solomono na watu wote wakamutolea Yawe sadaka.
Naye Solomono akamutolea ngombe elfu makumi mbili na mbili na kondoo elfu mia moja makumi mbili. Hivi ndivyo Solomono na watu wote walivyozinduwa nyumba ya Mungu.
Mufalme ataingia ndani watu wanapoingia, na atatoka wanapotoka.