Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Mambo ya Siku 7:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Makuhani hawakuweza kuingia mule kwa sababu utukufu wa Yawe ulijaa nyumba ya Yawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Mambo ya Siku 7:2
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Makuhani walipotoka pale Pahali Patakatifu, wingu liliijaza nyumba ya Yawe.


Waimbaji na wapiga baragumu wote pamoja walitoa sauti kwa pamoja na matoazi na vyombo vingine vya muziki, wakimusifu Yawe wakiimba: “Yeye ni muzuri. Wema wake unadumu milele.” Wakati ule nyumba ya Yawe ikajazwa na wingu.


Nao makuhani walishindwa kutumika kwa sababu ya wingu lile, maana utukufu wa Yawe ulijaza nyumba ya Mungu.


Ee Yawe, ninapenda makao yako, pahali utukufu wako unapokaa.


Utukufu wa Yawe ukaonekana mbele ya macho ya watu wa Israeli kama moto unaowaka juu ya mulima.


Basi, mimi nikasema: Ole kwangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni michafu, na watu ninaoishi nao ni wenye midomo michafu. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mufalme, Yawe wa majeshi.


Hekalu likajaa moshi kutokana na utukufu wa Mungu na uwezo wake. Na hakuna mutu aliyeweza kuingia ndani ya hekalu mpaka yale mapigo yaliyoletwa na wale wamalaika saba yalipotimizwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ