Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Mambo ya Siku 4:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Nalo birika lilikuwa limewekwa juu ya sanamu za ngombe dume kumi na wawili, tatu zikielekea upande wa kaskazini, tatu upande wa magaribi, tatu kusini na zingine tatu upande wa mashariki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Mambo ya Siku 4:4
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nalo birika lilikuwa limewekwa juu ya sanamu za ngombe dume kumi na wawili; tatu zikielekea upande wa kaskazini, tatu zikielekea upande wa magaribi, tatu kusini, na nyingine tatu mashariki. Birika liliwekwa juu ya ngombe dume hao, sehemu zao za nyuma zikiwa ndani.


Chini ya ukingo wake, kuzunguka lile birika, kulikuwa mistari miwili ya sanamu za ngombe dume, kwa metre kumi na tatu na nusu. Sanamu hizo za ngombe dume zilikuwa zimetengenezwa na shaba ileile wakati birika lilipofanywa.


Unene wa ukingo wake ulikuwa sentimetre saba na nusu. Ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, na kama maua ya yungiyungi. Ndani ya birika lile kuliweza kuingia kadiri ya litre elfu makumi sita za maji.


Nami sasa ninakuambia: ewe Petro, wewe ni jiwe, na juu ya jiwe hili, nitajenga musingi wa kanisa langu, na hata uwezo wa lufu hautaweza kulishinda.


Kisha akawaambia: “Mwende katika dunia yote na kuhubiri Habari Njema kwa kila mutu.


Lakini Bwana akamwambia: “Kwenda tu, kwa maana nimemuchagua mutu huyu kwa kunitumikia, kusudi atangaze jina langu kwa mataifa, kwa wafalme na kwa Waisraeli.


Ninyi vilevile ni kama jengo linalosimama juu ya musingi uliowekwa na mitume na manabii; Yesu Kristo mwenyewe ndiye jiwe kubwa la pembe.


Na ukuta uliozunguka muji ule ulikuwa umejengwa juu ya mawe ya musingi kumi na mawili na juu ya kila jiwe kulikuwa kumeandikwa jina la kila mumoja wa mitume kumi na wawili wa Mwana-Kondoo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ