Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Mambo ya Siku 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kwa ajili ya watumishi wako, ni kusema waseremala watakaopasua mbao, nitatoa toni mia mbili za ngano iliyopondwa, toni mia mbili za shayiri, litre elfu mia ine za divai na litre elfu mia ine za mafuta.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Mambo ya Siku 2:9
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na nyumba hii itaharibiwa na kuwa mabomoko. Kila mutu atakayepita karibu atashituka na kutikisa kichwa, na kuuliza: ‘Kwa nini Yawe amefanya hivyo kwa inchi hii na kwa nyumba hii?’


Naye Hiramu, mufalme wa Tiro, akamujibu Solomono kwa barua akisema: “Kwa sababu Yawe anawapenda watu wake, amekufanya kuwa mufalme wao.


Lakini ni nani anayeweza kumujengea nyumba ikiwa mbingu zenyewe hazimutoshi, wala mbingu za juu sana? Nami ni nani basi, hata nimujengee nyumba isipokuwa tu kama pahali pa kufukizia ubani mbele yake?


kusudi wanipasulie mbao kwa wingi, maana nyumba ninayokusudia kujenga ni kubwa na ya ajabu.


“Na juu ya nyumba hii ambayo nimetukuzwa, kila anayepita karibu atashituka na kuuliza: ‘Kwa nini Yawe amefanya hivyo kwa inchi hii na kwa nyumba hii?’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ