Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Mambo ya Siku 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Akapanga wanaume elfu makumi saba kuwa wabebaji wa mizigo, elfu makumi nane kuwa wachongaji wa mawe kwenye milima na wengine elfu tatu mia sita kuwa wasimamizi wao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Mambo ya Siku 2:1
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme Hiramu wa Tiro, aliyekuwa rafiki ya Daudi, alipopata habari kwamba Solomono amekuwa mufalme pahali pa baba yake, alituma watumishi kwake.


Siku zote za utawala wake, watu wa Yuda na wa Israeli walikaa salama, kila mutu akistawi kwenye miti yake ya mizabibu na ya tini.


Solomono alijijengea nyumba ya kifalme, naye alitumia muda wa miaka kumi na mitatu kwa kuimaliza.


Lakini Yawe alimwambia baba yangu Daudi: ‘Ni vizuri kwamba ulikusudia ndani ya moyo wako kunijengea nyumba.


Na sasa, Yawe ametimiza ahadi yake, maana nimekuwa mufalme pahali pa baba yangu Daudi, na kukiikalia kiti cha kifalme cha Israeli kama vile Yawe alivyoahidi. Tena nimejenga nyumba ya kumwabudia Yawe, Mungu wa Israeli.


Mufalme Solomono alipomaliza kujenga nyumba ya Yawe na nyumba ya kifalme na majengo mengine yote aliyokusudia kujenga,


Hivyo, yeye ndiye atakayenijengea nyumba. Atakuwa mwana wangu nami nitakuwa baba yake, na wazao wake watatawala Israeli milele.’


Walinunua gari moja la vita kutoka Misri kwa bei ya vikoroti mia sita za feza, na farasi mumoja kwa vikoroti mia moja na makumi tano za feza. Kisha waliwauzishia wafalme wa Wahiti na wa Wasuria farasi hao na magari.


Sasa ninakutumia fundi mwenye ujuzi sana na mwenye akili, jina lake Huruma-Abi.


basi huko pahali Yawe, Mungu wenu, atakapochagua kusudi jina lake likae pale, hapo mutapeleka yote ninayowaamuru: sadaka zenu za kuteketeza kwa moto na sadaka zingine, sehemu ya kumi za mazao yenu, na sadaka za kutimiza kiapo.


Lakini mutakwenda pahali ambapo Yawe, Mungu wenu, atachagua katika makabila yote kwa kuweka jina lake na makao yake hapo. Huko ndiko mutakakokwenda.


“Kama musipokuwa waangalifu kwa kushika maneno yote ya sheria hii iliyoandikwa katika kitabu hiki na musipoheshimu na kutukuza jina tukufu la kuogopesha la Yawe, Mungu wenu


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ