1 Wakorinto 9:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Kwa maana imeandikwa hivi katika Sheria ile: “Usifunge kinywa cha ngombe anapokanyaga ngano.” Mungu anashugulikia ngombe? အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini siku ya saba ni Sabato ya Yawe, Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mutumwa wako, wala mujakazi wako, wala ngombe wako, wala punda wako, wala nyama wako yeyote, wala mugeni anayekuwa katika nyumba yako, kusudi mutumwa wako na mujakazi wako wapate kupumzika vilevile kama vile wewe.