Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 9:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kwa maana imeandikwa hivi katika Sheria ile: “Usifunge kinywa cha ngombe anapokanyaga ngano.” Mungu anashugulikia ngombe?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 9:9
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hao wote wanakungojea wewe, uwapatie chakula chao kwa wakati wake.


Mutu mwenye haki anajali nyama wake, lakini huruma za waovu ni kutesa tu.


Mulimaji anapopepeta ngano yake, haendelei kuipepeta mpaka kuvunja punje zake. Anajua jinsi ya kuipepeta kwa gurudumu la gari, bila kuharibu punje za ngano.


Basi, haifai kwangu kuuhurumia Ninawe, ule muji mukubwa wenye watu elfu mia moja na makumi mbili, wasioweza kutambua linalokuwa jema na baya; na nyama wengi wasiokuwa na hesabu?


Lakini maneno hayo “alihesabiwa kuwa mwenye haki” hayakuandikwa kwa ajili yake yeye mwenyewe,


Lakini siku ya saba ni Sabato ya Yawe, Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mutumwa wako, wala mujakazi wako, wala ngombe wako, wala punda wako, wala nyama wako yeyote, wala mugeni anayekuwa katika nyumba yako, kusudi mutumwa wako na mujakazi wako wapate kupumzika vilevile kama vile wewe.


Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Usifunge kinywa cha ngombe anapokanyaga ngano.” Na tena yanasema: “Mutumishi anastahili kupewa mushahara wake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ