Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 9:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Ni askari gani anayejilipia mwenyewe vifaa vya kiaskari? Au ni muchungaji gani asiyekunywa maziwa ya kundi analochunga?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 9:7
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anayetunza muti wa tini atakula matunda yake. Anayetumikia bwana wake ataheshimiwa.


watakupa maziwa ya kukutoshelea na jamaa yako, na kwa ajili ya wajakazi wako.


Shamba langu la mizabibu ni shamba langu mwenyewe. Basi, Solomono, wewe ukae na elfu zako za feza, na kila mulinzi wa matunda akae na mia mbili zake.


nao watatoa maziwa kwa wingi hata aweze kula siagi. Watu watakaobaki katika inchi watakula maziwa na asali.


Mujichunge ninyi wenyewe na muchunge vilevile lile kundi lote Roho Mutakatifu alilowapatia kusudi mukuwe wasimamizi wao. Hivi mutaweza kuchunga kanisa la Mungu ambalo alijipatia kwa damu ya Mwana wake.


Watapata mafungu yao sawa ya kula, ingawa wako na mapato kutokana na kuuzisha mali za jamaa zao.


Kuna mutu yeyote hapa aliyepanda mizabibu na ambaye hajafurahia matunda yake ya kwanza? Arudi kwake asikufie kwenye vita na mutu mwingine afurahie matunda yake.


Timoteo mwana wangu, ninakupa agizo hili kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Maneno hayo ndiyo yatakayokuwezesha kupiga vita nzuri,


Upigane vita nzuri kwa kuchunga imani yako, upate kujitwalia uzima wa milele Mungu aliokuitia wakati ulipoitikia imani yako mbele ya washuhuda wengi.


Nimeshindana vizuri, nimekimbia na kufika mwisho wa mashindano yangu. Nimelinda imani yangu.


Ninawaonya, muchunge lile kundi Mungu alilowapatia, si kwa kulazimishwa, lakini kwa mapenzi yenu sawa vile Mungu anavyotaka. Musitumike kwa ajili ya tamaa mbaya ya mali, lakini kwa kujitoa kwa moyo mwema.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ