Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 9:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 basi sina haki ya kupokea chakula na kinywaji kwa ajili ya kazi yangu?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 9:4
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Jua litakapotua ndipo atakapokuwa safi. Nyuma ya pale ataweza kula vyakula vitakatifu maana hicho ndicho chakula chake.


Vilevile musibebe mifuko, kanzu mbili, viatu wala fimbo, kwa sababu mutumishi anastahili kupewa posho lake.


Mukae ndani ya nyumba ile, nanyi mukule na kunywa chochote watakachowapa, kwa maana mutumishi anastahili kupewa mushahara wake. Musihame nyumba kwa nyumba.


Mimi sikutamani feza, zahabu, wala nguo ya mutu yeyote.


Watu wanaponishitaki, mimi ninajitetea kwa namna hii:


Mwenye kufundishwa Habari Njema anapaswa kushirikiana mapato yake na yule anayemufundisha.


Hatukutafuta sifa ya watu wala yenu, wala ya mutu mwingine yeyote,


Wandugu, munakumbuka namna tulivyosumbuka na kazi ngumu. Wakati tulipowahubiria Habari Njema ya Mungu, tulitumika muchana na usiku kusudi tusimulemee hata mutu mumoja kati yenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ