1 Wakorinto 8:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Ingawa hivi, kwa ngambo yetu sisi tuko na Mungu mumoja peke yake tu, ndiye Baba aliyeumba vitu vyote, nasi tunaishi kwa nguvu yake. Vilevile kuko Bwana mumoja tu, ndiye Yesu Kristo. Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa, nasi tunaishi kwa nguvu yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |