Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 7:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lakini kama hawawezi kujizuiza wao wenyewe, basi waoane; kwa maana afazali kuoa kuliko kuwaka tamaa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 7:9
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi kwa maana hakuna anayeweza kukana maneno haya, ni lazima mutulie, wala musifanye kitu chochote kwa haraka.


Lakini kwa ajili ya kuepuka uasherati inafaa kila mwanaume akuwe na muke wake wa pekee, na kila mwanamuke akuwe na mume wake wa pekee.


Lakini kama ukioa, haufanyi zambi, na kama binti anaolewa, yeye hafanyi zambi vilevile. Lakini wale wanaooana watakuwa na mateso katika maisha yao, na mimi ninataka kuwaonya kusudi muepuke mateso yale.


Mutu akiona kwamba hamutendei muchumba wake vizuri, naye akitawaliwa na tamaa kwamba wangepaswa kuoana, basi afanye sawa vile anavyotaka. Yeye hafanyi zambi, waoane tu.


Mwanamuke aliyeolewa anafungwa na Sheria katika maisha yake na mume wake wakati mume wake angali muzima. Lakini kama mume wake akikufa, yeye ni huru kuolewa na yule anayetaka, lakini sherti ndoa ikuwe ya kikristo.


Kila mwanaume anapaswa kujua namna ya kuishi na muke wake katika hali ya utakatifu na ya heshima,


Lakini ukatae kuandika wajane wanaokuwa wangali vijana katika hesabu ile kwa maana wanapovutwa na tamaa ya kutaka kuolewa, wanaacha kumutumikia Kristo.


Kwa sababu hiyo, ninataka wajane wanaokuwa wangali vijana waolewe, wazae watoto na kutunza nyumba zao, kusudi waadui wasipate nafasi ya kutuchongea.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ