1 Wakorinto 7:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 Yeye anashugulikia mambo mawili. Vilevile mwanamuke asiyeolewa au binti anashugulikia mambo ya Bwana. Anajitolea kwa Bwana katika mawazo na matendo yake yote. Lakini mwanamuke anayeolewa, anashugulikia mambo ya dunia, anatafuta jinsi ya kumupendeza mume wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |