27 Ikiwa umekwisha kuoa, usitafute kuachana na muke wako.
Inafaa kila mutu abaki sawa alivyokuwa wakati alipoitwa na Mungu.
Kwa sababu ya taabu ya siku hizi, ninafikiri kwamba ni vizuri mutu akae sawa vile anavyokuwa.
Lakini kama ukioa, haufanyi zambi, na kama binti anaolewa, yeye hafanyi zambi vilevile. Lakini wale wanaooana watakuwa na mateso katika maisha yao, na mimi ninataka kuwaonya kusudi muepuke mateso yale.