Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 7:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Kwa sababu ya taabu ya siku hizi, ninafikiri kwamba ni vizuri mutu akae sawa vile anavyokuwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 7:26
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wanawake wenye mimba na wenye kunyonyesha watapata hasara katika siku zile!


Wanawake wenye mimba na wenye kunyonyesha watapata hasara katika siku zile! Kwa maana kutakuwa taabu kubwa katika inchi, na Mungu ataonyesha kasirani yake juu ya watu wa taifa hili.


Sasa tuangalie mambo yale muliyoniandikia. Ni vizuri mwanaume asioe.


Ikiwa umekwisha kuoa, usitafute kuachana na muke wako.


Lakini kama ukioa, haufanyi zambi, na kama binti anaolewa, yeye hafanyi zambi vilevile. Lakini wale wanaooana watakuwa na mateso katika maisha yao, na mimi ninataka kuwaonya kusudi muepuke mateso yale.


Na kwa wale wasiooa bado na wajane, ninawaambia kwamba ingekuwa vema waendelee kuishi peke yao kama vile mimi.


musifazaike upesi wala kuogopa kwamba Siku ya kurudi kwa Bwana imekwisha kutimia. Inawezekana munafahamu mambo yale kwa njia ya unabii, mahubiri na barua inayosemeka kwamba imetoka kwetu.


Wakati wa hukumu unakaribia. Na hukumu itaanza na watu wa Mungu. Na kama hukumu inaanzia kwetu sisi, basi mwisho wake utakuwa namna gani kwa wale wasiotii Habari Njema ya Mungu?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ