1 Wakorinto 7:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Kuelekea wale ambao hawajaoa wala kuolewa, sina neno la kuwaamuru kutoka kwa Bwana. Lakini nitawatolea shauri kufuatana na vile ninavyokuwa mutu anayestahili kuaminiwa, kutokana na neema niliyopewa na Bwana. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |