1 Wakorinto 7:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200224 Wandugu zangu, inafaa kila mutu akae katika ushirika wake na Mungu akibaki sawa alivyokuwa wakati alipoitwa naye. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini watu wakamwambia Saulo: “Kwa nini Yonatani, aliyeletea Waisraeli ushindi huu mukubwa, auawe? Haiwezikani hata kidogo. Kama vile Yawe anavyoishi, hata unywele mumoja wa kichwa chake hautaanguka chini. Alichokifanya leo, amekifanya kwa musaada wa Yawe.” Kwa hiyo, watu walimukomboa Yonatani naye hakuuawa.