1 Wakorinto 7:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Kwa maana, mume asiyeamini anapata ushirika na Mungu kwa njia ya kuungana kwake na muke wake. Vilevile muke asiyeamini anapata ushirika na Mungu kwa njia ya kuungana kwake na mume wake. Kama isingekuwa vile, watoto wao wangehesabiwa kama watoto wa wapagani, lakini kwa hakika wao ni watu wa Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |