1 Wakorinto 5:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212-13 Basi si kazi yangu kuhukumu wale wanaokuwa wa inje ya kanisa. Mungu ndiye atakayewahukumu. Lakini ninyi hamupaswi kuhukumu watu wa kanisa lenu? Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Mumwondoe mutu yule mubaya toka katikati yenu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |