1 Wakorinto 4:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Wandugu zangu, nimesema maneno haya nikitwaa mufano wa Apolo na wangu mimi mwenyewe kusudi yakuwe fundisho kwenu. Nilitaka kwamba kufuatana na mufano huu mujifunze maana ya masemi haya: “Musipite pembeni ya maandiko.” Hata mutu mumoja kati yenu asijivunie mutu fulani na kuzarau mwingine. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |