1 Wakorinto 3:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 kwa sababu mungali munatawaliwa na mambo ya kidunia. Kwa maana ikiwa kungali wivu na ugomvi katikati yenu, haionyeshi kwamba munatawaliwa na mambo ya kidunia, nanyi munaishi kufuatana na hali ya kimutu? အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |