1 Wakorinto 2:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Lakini mutu anayefuata hali yake ya kidunia hawezi kukubali maneno yanayotoka kwa Roho yule. Kwa sababu anayaona kuwa ni upumbafu kwake, naye hawezi kuyaelewa kwa maana yanatambulikana tu kwa njia ya Roho. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |