Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 16:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Labda nitabakia pamoja nanyi muda kidogo, au tena wakati wote wa mvua kali; kusudi muweze kunisaidia kuendelea pahali popote nitakapokwenda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 16:6
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kanisa liliwapatia vitu walivyohitaji kwa ajili ya safari ile, nao wakapita katika inchi ya Foinikia na katika Samaria. Na kule wakaeleza namna watu wa mataifa mengine walivyomugeukia Mungu. Habari hii ikafurahisha sana wandugu waamini wote.


Nao wale waliomwongoza Paulo wakamufikisha mpaka katika muji wa Atene. Kisha wakarudi Beroya wakiwa wameagizwa na Paulo kwamba wawaambie Timoteo na Sila wamufuate upesi.


Walihuzunika zaidi kwa sababu aliwaambia kwamba hawatamwona tena. Wakamusindikiza mpaka kwenye chombo.


Lakini muda ule ulipotimia tukaondoka na kuendelea na safari yetu. Waamini wote pamoja na wanawake na watoto wao wakatusindikiza mpaka mbali na hata kufika kwenye kivuko cha muji. Kule sisi wote tukapiga magoti na kuomba.


Na kwa sababu kivuko kile hakikukuwa na nafasi zuri ya kukaa wakati wa baridi kali, watu wengi kati yetu wakakubaliana kuondoka kule, kusudi ikiwezekana wafike Foinike, na kupitishia wakati wa baridi kali kule. Foinike ni kivuko kimoja kinachokuwa katika kisanga cha Krete, kinachoelekea upande wa kaskazini-magaribi na wa kusini-magaribi.


Kulipopita miezi mitatu, tukasafiri katika chombo kimoja kilichobaki katika kisanga kile kwa kungojea wakati wa baridi kali upite kwanza. Chombo kile kilikuwa chenye kutoka Alesanduria. Na juu yake kulikuwa michoro ya sanamu za mapacha ya miungu.


kwa hiyo nitawafikia nitakapokwenda Spania. Ninatumaini kupitia kule na kuonana nanyi, na kisha kufurahi kwanza pamoja nanyi kwa muda mufupi, ningetamani kupata musaada wenu kwa ajili ya safari ile.


Basi hata mutu mumoja asimuzarau. Lakini mumusaidie aendelee na safari yake katika amani; kusudi apate kurudia kwangu, maana ninamungojea yeye pamoja na wandugu waamini.


Nilikusudia kupitia kwenu kwa kwenda Makedonia, kisha ningewaona tena wakati wa kurudia, kwa hiyo mungenisaidia kwa safari yangu kwenda Yudea.


Wakati nitakapokutumia Artema au Tikiko, ufanye bidii sana kuja kukutana nami kule Nikopoli, kwa maana nimekusudia kukaa kule wakati wa baridi kali.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ