4 Ikiwa ni lazima mimi niende vilevile, basi nitasafiri pamoja nao.
Lakini sasa ninakwenda kwanza Yerusalema kuwasaidia watu wa Mungu kule.
Nami nitakapofika, nitatuma watu mutakaochagua, pamoja na barua kwa kupeleka zawadi yenu Yerusalema.
Nitakuja kwenu kisha kupitia Makedonia kufuatana na mupango wangu wa kupitia kule.
Vilevile, yule ndugu amechaguliwa na makanisa kwa kutusindikiza katika safari ya kutimiza kazi hii ya kutoa kwa moyo mwema ambayo sisi tunafanya kwa ajili ya utukufu wa Bwana, na kwa kuonyesha nia yetu ya kusaidia watu wengine.
Yalitusihi sana tukishiriki nayo katika kazi ya kuwasaidia watu wa Mungu wanaokaa Yudea.