Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 15:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kwa maana kama wafu hawafufuki, basi Kristo naye hakufufuka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 15:16
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na kama Roho wa Mungu aliyemufufua Yesu anakaa ndani yenu, basi huyo aliyemufufua Kristo ataupatia mwili wenu unaokuwa wa kufa uzima kwa njia ya Roho wake anayekaa ndani yenu.


Na zaidi ya hii, sisi tumeonekana kuwa washuhuda wa uongo mbele ya Mungu, kwa sababu tumeshuhudia kuwa Mungu amemufufua Kristo, ingawa hakumufufua, ikiwa kweli wafu hawafufuki.


Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni ya bure, na mungali katika zambi zenu.


Ikiwa hakuna ufufuko, wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu watafanya nini? Ikiwa wafu hawafufuki kabisa, kwa sababu gani watu wanabatizwa kwa ajili yao?


Alizikwa na kufufuliwa kwa siku ya tatu kisha kufa kwake kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ