9 Ni hivi vilevile mambo munayosema yatatambulikana namna gani ikiwa maneno munayoeleza kwa luga za ajabu hayako wazi? Kwa maana mutakuwa kama wenye kusema na upepo.
Kuna namna mbalimbali za luga katika dunia, lakini hakuna hata moja isiyokuwa na maana.
Ni kwa sababu hiyo ninakimbia nikiwa na shabaha ya kushinda. Mimi ni kama mupiganaji wa ngumi asiyepiga katika hewa.