1 Wakorinto 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Kwa maana wakati wa sasa tunaona kama mwenye kuangalia ndani ya kioo kisichoonyesha wazi, lakini wakati utakaokuja tutaona waziwazi. Kwa sasa ninajua tu mambo machache, lakini nyuma nitajua kwa utimilifu kama vile Mungu anavyonijua mimi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |