Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 13:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Lakini wakati mambo matimilifu yatakapokuja, yale yasiokuwa matimilifu yatatoweka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 13:10
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa maana wakati wa sasa tunaona kama mwenye kuangalia ndani ya kioo kisichoonyesha wazi, lakini wakati utakaokuja tutaona waziwazi. Kwa sasa ninajua tu mambo machache, lakini nyuma nitajua kwa utimilifu kama vile Mungu anavyonijua mimi.


Kisha mwezi utafezeheka, nalo jua litapata haya ya kuangaza, maana Yawe wa majeshi atatawala kule Yerusalema katika mulima Sayuni; ataonyesha wazee wa watu wake utukufu wake.


Kwa maana tunafahamu tu mambo machache na kutabiri tu mambo machache.


Wakati nilipokuwa mutoto, nilisema kama mutoto, niliwaza kama mutoto, nilifikiri kama mutoto. Lakini nilipokuwa mutu muzima niliacha mambo ya kitoto.


Sitaki kusema kwamba nimekwisha kufikia mwisho au kwamba nimekwisha kuwa mukamilifu. Lakini ninakaza mwendo kusudi nipate kushinda na kupokea zawadi, kwa maana Yesu Kristo amekwisha kunipokea nikuwe wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ