11 Lakini katika ushirika wetu na Bwana, hakuwezi kuwa mwanamuke pasipo mwanaume wala mwanaume pasipo mwanamuke.
Kwa hiyo, kwa sababu ya wamalaika, mwanamuke anapaswa kufunika kichwa chake kuwa kitambulisho kinachoonyesha kuwa yuko chini ya mamlaka ya mume wake.
Kwa maana kama vile mwanamuke alivyoumbwa kutoka katika mwanaume, vilevile mwanaume anazaliwa na mwanamuke; na vyote vinatoka kwa Mungu.
Kwa hiyo hakuna tena umbalimbali kati ya Wayuda na watu wa mataifa mengine, kati ya watumwa na watu huru, mwanaume na mwanamuke; kwa maana ninyi wote ni mumoja katika kuungana kwenu na Yesu Kristo.