2 Wote walibatizwa katika lile wingu na katika ile bahari kusudi wapate kuungana na Musa.
Waisraeli walipoona tendo hilo la ajabu Yawe alilofanya mbele ya Wamisri, wakamwogopa. Wakamwamini Yawe na Musa mutumishi wake.
Waliungama zambi zao, naye Yoane aliwabatiza katika muto Yordani.
Munajua hakika kwamba sisi wote tulipobatizwa tuliungana na Yesu Kristo; kwa njia hiyo tuliungana naye katika kufa.
Hivi, ninyi wote mulioungana na Yesu Kristo, kwa njia ya kubatizwa, ni kama vile mumevaa Kristo.