1 Wakorinto 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 tunapokunywa kikombe ambacho kwa ajili yake tunamutolea Mungu shukrani, basi kwa njia ya kikombe kile hatuungani na damu ya Kristo? Nasi tunapomega mukate na kuukula, kwa njia hiyo, mukate ule hautuungi na mwili wa Kristo? အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |