Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wakorinto 1:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Munafikiri kwamba Kristo amegawanyika? Paulo ndiye aliyetundikwa juu ya musalaba kwa ajili yenu? Au mumebatizwa kwa jina la Paulo?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wakorinto 1:13
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi muwaendee watu wa mataifa yote kusudi wapate kuwa wanafunzi wangu, mukiwabatiza kwa jina la Baba, la Mwana na la Roho Mutakatifu.


Waliungama zambi zao, naye Yoane aliwabatiza katika muto Yordani.


Basi akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Na kisha wakamusihi Petro akae kule kwao kwa siku chache.


Waliposikia maneno haya, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu.


Petro akawajibu: “Mugeuke toka katika zambi zenu, na kila mumoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo, na Mungu atawasamehe zambi zenu. Hivi mutapokea zawadi ya Roho Mutakatifu.


Kwa maana Roho Mutakatifu alikuwa bado hajashuka hata juu ya mumoja wao; walikuwa tu wamebatizwa kwa jina la Bwana Yesu.


Ni kwa sababu hii Kristo alikufa na kufufuka kusudi apate kuwa Bwana wa waliokufa na wa wanaokuwa wazima vilevile.


Hivi hakuna anayeweza kusema kwamba amebatizwa kwa jina langu.


Wote walibatizwa katika lile wingu na katika ile bahari kusudi wapate kuungana na Musa.


Hii inatokana na kuona jinsi munavyomukubali mutu yeyote anayekuja kwenu na kuwahubiri habari za Yesu mwingine asiyekuwa yule sisi tuliyemuhubiri. Na zaidi ya hii munakubali upesi kupokea roho ingine na ujumbe mwingine vinavyokuwa tofauti na Roho au Habari Njema muliyopokea toka kwetu.


Kwa kweli hakuna Habari Njema ingine, lakini kuko watu wanaowavuruga, wakitaka kugeuza Habari Njema ya Kristo.


Kuna Bwana mumoja, imani moja, ubatizo mumoja;


Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu, kusudi atukomboe toka uovu wote na kututakasa tupate kuwa watu wake wa pekee, watu wanaokuwa na hamu ya kufanya kazi nzuri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ