23 Hii ndiyo jumla ya wakubwa waliohusika na uangalizi wa kazi ya Solomono: watu mia tano na makumi tano, hao ndio waliosimamia watu waliofanya kazi.
Halafu Solomono akamupelekea Hiramu ujumbe huu:
Hii ndiyo jumla ya wakubwa wa mufalme Solomono: walikuwa mia mbili makumi tano, waliokuwa na mamlaka juu ya watu.