Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 9:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Lakini kati ya Waisraeli, Solomono hakumufanya mutu hata mumoja kuwa mutumwa. Waisraeli walimutumikia kwa kuwa waaskari, waongozi, majemadari, wakubwa, wasimamizi wa magari yake ya vita, na waaskari wapanda-farasi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 9:22
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Angalia! Ni kipoyi cha Solomono, akibebwa juu ya kiti chake cha kifalme, akizungukwa na walinzi makumi sita, mashujaa bora wa Israeli.


Kila mwaka wa saba, kila mumoja wenu atamwachilia huru ndugu yake Muyuda aliyeuzishwa kuwa mutumwa kwa muda wa miaka sita. Munapaswa kuwaachilia huru, wasiwatumikie tena. Lakini babu zenu hawakunisikiliza wala kunitegea sikio.


Kama ndugu yako anayeishi karibu nawe amekuwa masikini, akijiuzisha kwako, usimufanye akutumikie kama mutumwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ