1 Wafalme 9:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Lakini kati ya Waisraeli, Solomono hakumufanya mutu hata mumoja kuwa mutumwa. Waisraeli walimutumikia kwa kuwa waaskari, waongozi, majemadari, wakubwa, wasimamizi wa magari yake ya vita, na waaskari wapanda-farasi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |