2 Yawe alimutokea tena kama alivyomutokea kule Gibeoni.
Basi, Yawe alimukasirikia Solomono, kwa sababu alikuwa amemwacha Yawe, Mungu wa Israeli, ingawa yeye alikuwa amemutokea mara mbili
Kule Gibeoni, Yawe alimutokea Solomono katika ndoto usiku, akamwambia: “Omba kitu chochote unachotaka nami nitakupa.”
Kisha Yawe akamutokea usiku, akamwambia: “Nimesikia maombi yako na nimechagua pahali hapa pakuwe nyumba yangu ya kunitolea sadaka.