Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 8:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kwa sababu miti hiyo ilikuwa mirefu sana, incha zake ziliweza kuonekana kutoka Pahali Patakatifu, mbele ya chumba cha ndani; lakini haikuweza kuonekana kutoka upande wa inje. Miti hiyo ingali pahali pale hata leo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 8:8
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hao makerubi walitandaza mabawa yao juu ya pahali Sanduku lilipowekwa, juu ya Sanduku ile na miti yake ya kulibebea.


Kwa sababu miti ile ilikuwa mirefu sana, incha zake ziliweza kuonekana kutoka Pahali Patakatifu mbele ya chumba cha ndani, lakini haikuweza kuonekana kutoka upande wa inje. Miti ile ingali pahali pale hata leo.


Kisha akatwaa vile vibao viwili vya mawe na kuviweka katika lile sanduku. Akapitisha ile miti katika vikomo vya sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake.


Basi wale waaskari walinzi wakapokea zile feza na kufanya sawa walivyoambiwa. Na habari hii ilienea katikati ya Wayuda mpaka leo.


Yoshua akasimika vilevile mawe kumi na mawili katikati ya muto Yordani, pahali pale miguu ya makuhani waliobeba lile Sanduku la Agano iliposimama. Mawe hayo yako kule mpaka hivi leo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ