1 Wafalme 8:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Basi, mufalme Solomono akawakusanya mbele yake kule Yerusalema wazee na viongozi wote wa makabila na wa ukoo za Waisraeli kusudi waliondoe Sanduku la Agano la Yawe katika muji wa Daudi, ni kusema Sayuni. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |