Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Nyumba yake ya kukaa mwenyewe iliyokuwa nyuma ya Uwanja wa Hukumu. Ilijengwa kama zile zingine. Solomono alijenga vilevile nyumba kama uwanja huo kwa ajili ya binti ya mufalme wa Misri, ambaye alikuwa amemwoa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 7:8
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Solomono alifanya mapatano na mufalme wa Misri, kwa kumwoa binti yake. Akamuleta binti wa mufalme wa Misri na kumuweka katika muji wa Daudi, mpaka alipomaliza kujenga nyumba yake mwenyewe, nyumba ya Yawe, na ukuta wa kuuzunguka Yerusalema.


Majengo hayo yote yalijengwa kwa mawe ya bei kali kutoka musingi mpaka juu, mawe ambayo yalikuwa yamechongwa kwa vipimo vilivyoamuriwa, na kukatwa kwa musumeno upande wa ndani na wa inje.


Gezeri ndio muji ambao mufalme wa Misri alikuwa ameuteka, akauchoma kwa moto na kuwaua Wakanana, wakaaji wake. Nyuma, binti wa mufalme wa Misri alipoolewa na Solomono, mufalme wa Misri alimupa binti yake muji ule wa Gezeri ukuwe zawadi ya arusi.


Kisha binti ya mufalme wa Misri alihama katika muji wa Daudi, akaenda kukaa katika nyumba yake mwenyewe ambayo Solomono alimujengea. Kisha Solomono akajenga uwanja wa Milo.


Lakini mbele Isaya hajapita kiwanja cha katikati, Yawe akamutolea ujumbe kusema:


Solomono alimuhamisha binti wa mufalme wa Misri, kutoka muji wa Daudi, akamupeleka kwenye nyumba aliyomujengea. Akasema: “Muke wangu hataishi katika nyumba ya Daudi mufalme wa Israeli, kwa maana pahali pote ambapo sanduku la Yawe limekuwa, ni patakatifu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ