Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 7:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Halafu akatengeneza taji mbili za shaba, kila moja ikiwa na urefu wa kwenda juu wa metre mbili na sentimetre makumi mbili na tano. Akaziweka juu ya nguzo hizo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 7:16
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hiramu alitengeneza nguzo mbili za shaba, kila moja ikiwa na urefu wa metre ine, na muzunguko wa metre tano na nusu. Ndani zilikuwa na tundu ambalo unene wa pande zake ulikuwa sentimetre mbili.


Halafu, alifuma nyavu mbili zenye mapambo ya murabamuraba, akatengeneza taji kwa kusokota mukufu: vyote hivyo kwa ajili ya kupamba taji za shaba zilizowekwa juu ya zile nguzo.


na nguzo zake tano zikiwa na vifungio. Chongo zake na vyuma vyake alivipakaa zahabu, lakini vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.


Vikalio vyote vya nguzo vilikuwa vya shaba, lakini vifungio vya nguzo hizo na kamba zake vilikuwa vya feza. Vifungio vyake vilikuwa vya feza; vilevile nguzo zake zote zilishikamanishwa kwa fito za feza.


Vilevile nguzo zake zilikuwa ine na vikalio vine vya shaba. Vifungio vyake vilikuwa vya feza, hata nguzo zake na kamba zake vilikuwa vya feza.


Zile kilo kumi na saba na grama makumi saba na tano zilizobakia, zilitumika kwa kutengeneza vifungio vya nguzo na kuvipakaa vichwa vya nguzo na kutengeneza kamba.


Juu ya kila nguzo kulikuwa kichwa cha shaba nyeusi; urefu wa kila kichwa ulikuwa metre mbili na sentimetre makumi mbili. Kila kichwa kilizungushiwa mapambo ya makomamanga, yote ya shaba nyeusi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ