Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 7:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Huyo alikuwa mwana wa mujane wa kabila la Nafutali, na baba yake alikuwa mukaaji wa Tiro, mufua-shaba. Hiramu alikuwa na hekima nyingi na akili, fundi kabisa wa kazi yoyote ya shaba. Basi, alikuja kwa mufalme Solomono, akamufanyia kazi yake yote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 7:14
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sasa basi, bwana wangu, tafazali ututumie sisi watumishi wako vitu ulivyosema: ngano, shayiri, mafuta na divai.


Basi, sasa unitumie mutu mwenye ujuzi wa kutengeneza vyombo kwa zahabu, feza, shaba, na chuma, na nguo ya rangi nyekundu-nyeusi, za rangi nyekundu na ya samawi, anayejua vilevile kuchora. Yeye atashirikiana katika kazi hiyo na wafundi wanaokuwa pamoja nami katika Yuda na Yerusalema, ambao baba yangu Daudi aliwaweka.


Hiramu akatengeneza vyungu, vipao na mabeseni. Basi Hiramu akamaliza kazi aliyomufanyia mufalme Solomono juu ya nyumba ya Mungu;


Halafu vyungu, vipao na kanya na vyombo vingine vyote vya nyumba ya Yawe ambavyo Huruma-Abi alimutengenezea mufalme Solomono, vilikuwa vya shaba iliyoangarishwa.


Uwaagize wafundi wote ambao nimewapa maarifa wamutengenezee Haruni nguo kusudi atakaswe kwa ajili ya kazi ya ukuhani.


Musa akawaambia Waisraeli: Muangalie! Yawe amemuchagua Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri, wa kabila la Yuda.


Amemujaza Roho wake, amemupa ujuzi, akili, maarifa na ufundi,


Amewapa ujuzi wa kufanya kila kazi ya ufundi au inayofanywa na watu wa akili au wafundi wa kushona kwa sufu ya rangi ya samawi, ya zambarau, nyekundu na kitani safi iliyosokotwa kwa kutumia ufundi wowote wa akili.


Bezaleli na Oholiabu, pamoja na kila mwanaume ambaye Yawe amemujalia uwezo na akili ya kujua namna ya kufanya kazi zote katika majengo ya hema takatifu, atafanya kazi kulingana na yote ambayo Yawe aliamuru.


Wanaume wote wenye ujuzi wakatengeneza hema takatifu kwa mapazia kumi ya kitani safi iliyosokotwa, na kwa sufu ya rangi ya samawi, zambarau na nyekundu, na kuchora makerubi.


Mutu huyo anajua kufanya vile, kwa sababu Mungu wake anamufundisha.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ