Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 7:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kiwanja cha nyumba ya mufalme kilikuwa na kuta zenye mustari moja wa mbao za mierezi na mistari mitatu ya mawe ya kuchongwa kila moja; ndivyo ilivyokuwa hata kwa kiwanja cha ndani cha nyumba ya Yawe na kwa baraza la nyumba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 7:12
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uwanja wa baraza ya nyumba ulikuwa na upana wa metre ine na nusu toka upande mumoja wa nyumba mpaka upande mwingine. Na kina chake mbele ya hiyo nyumba kilikuwa metre tisa.


Alijenga uwanja wa ndani ambao kuta zake zilikuwa za mistari tatu ya mawe yaliyochongwa, na mustari moja wa boriti za mwerezi.


Sehemu za juu zilijengwa kwa mawe mengine yaliyochongwa kwa vipimo vilivyoamuriwa, na kwa mbao za mierezi.


Alijenga uwanja wa nguzo, ambao urefu wake ulikuwa metre makumi mbili na mbili na sentimetre makumi mbili na tano, na upana wake metre kumi na tatu na nusu. Kwenye sehemu ya mbele ya jengo hilo kulikuwa baraza. Mbele ya baraza kulikuwa nguzo; na mbele ya nguzo kulitokeza paa dogo.


Katika viwanja viwili vya nyumba ya Yawe, alijenga mazabahu ya kuabudia jeshi la mbingu.


Akatengeneza kiwanja cha ndani cha makuhani na kingine kikubwa cha inje, na milango ya kiwanja ambayo aliifunika na shaba;


Yesu alikuwa akitembea ndani ya hekalu katika baraza iliyoitwa baraza ya Solomono.


Mutu huyo hakutaka kuachana na Petro na Yoane. Kwa hiyo watu wote wakashangaa sana na kukimbilia kwenye baraza la hekalu wanaloita La Solomono.


Mitume walifanya maajabu na vitambulisho vingi katikati ya watu. Waamini wote walizoea kukusanyika katika Baraza wanaloliita La Solomono.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ