Majengo hayo yote yalijengwa kwa mawe ya bei kali kutoka musingi mpaka juu, mawe ambayo yalikuwa yamechongwa kwa vipimo vilivyoamuriwa, na kukatwa kwa musumeno upande wa ndani na wa inje.
Basi, Bwana wetu Yawe anasema hivi: Ninaweka katika Sayuni jiwe la musingi, jiwe ambalo limeimarishwa. Jiwe la pembe, la bei kali, jiwe ambalo ni la musingi imara; jiwe linalokuwa na maandiko haya: Anayeamini hataanguka.