1 Wafalme 6:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Wakati nyumba ilipokuwa inajengwa, hakukusikilika ndani ya nyumba mulio wa nyundo, wala wa chombo chochote cha chuma, maana ilijengwa kwa mawe yaliyokuwa yamechongwa na kutayarishwa kabisa kule walikoyachimba. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Vyumba vya chini, katika hivyo vyumba vya nyongezo, vilikuwa na upana wa metre mbili na sentimetre makumi mbili na tano, na gorofi iliyofuata ilikuwa na upana wa metre mbili na sentimetre makumi ine na tano, na gorofi ya juu kabisa ilikuwa na upana wa metre tatu. Gorofi hizo zilikuwa zimetofautiana kwa upana, kwa sababu Solomono alikuwa amepunguza kipimo cha ukuta wa inje kuzunguka nyumba, kusudi miti ya kutegemeza jengo isishikamane na kuta.