Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 6:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wakati nyumba ilipokuwa inajengwa, hakukusikilika ndani ya nyumba mulio wa nyundo, wala wa chombo chochote cha chuma, maana ilijengwa kwa mawe yaliyokuwa yamechongwa na kutayarishwa kabisa kule walikoyachimba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 6:7
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nanyi vilevile, kama mawe yenye uzima mutumiwe kwa kujenga hekalu la kiroho. Na mule mutafanya kazi takatifu ya ukuhani kwa kutoa sadaka za kiroho zinazomupendeza Mungu kwa njia ya Yesu Kristo.


Kwanza fanya kazi zako inje na kutayarisha kila kitu katika shamba. Kisha jenga nyumba yako.


Kama mukinijengea mazabahu ya mawe, musiitengeneze kwa mawe ya kuchonga, maana mukitumia vyombo vya kuchonga mawe, mutaichafua.


mumushukuru Mungu Baba aliyewawezesha ninyi kuwa wenye kustahili kupokea sehemu yenu ya urizi aliowawekea watu wake katika ufalme wa mwangaza.


Ni Mungu mwenyewe aliyetuwezesha kupata mabadiliko hayo na kuweka Roho Mutakatifu ndani yetu kuwa rehani ya vitu vyote anavyotuwekea.


Vilevile alitaka kuonyesha uwingi wa utukufu wake kwa wale aliowasikilia huruma; wale ambao alitayarisha tangu zamani kwa kuwatukuzisha.


Wakati ule, kanisa lilikuwa na amani katika Yudea yote, Galilaya na Samaria. Vilevile lilizidi kupata nguvu na kuendelea kumwogopa Bwana, nalo liliongezeka kwa musaada wa Roho Mutakatifu.


Hatalalamika wala hatapiga kelele, wala hatasema kwa sauti kubwa katika barabara.


Kwa maana mutu mwenye kasirani hawezi kutimiza mambo ya haki mbele ya Mungu.


Vyumba vya chini, katika hivyo vyumba vya nyongezo, vilikuwa na upana wa metre mbili na sentimetre makumi mbili na tano, na gorofi iliyofuata ilikuwa na upana wa metre mbili na sentimetre makumi ine na tano, na gorofi ya juu kabisa ilikuwa na upana wa metre tatu. Gorofi hizo zilikuwa zimetofautiana kwa upana, kwa sababu Solomono alikuwa amepunguza kipimo cha ukuta wa inje kuzunguka nyumba, kusudi miti ya kutegemeza jengo isishikamane na kuta.


Mulango wa kuingilia sehemu ya chini ya jengo lililoongezwa kwenye ubavu wa nyumba, ulikuwa upande wa kusini. Ndani, mulikuwa ngazi ambayo watu waliweza kupandia kwa kwenda kwenye gorofi ya katikati na ya mwisho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ