Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 6:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Uwanja wa baraza ya nyumba ulikuwa na upana wa metre ine na nusu toka upande mumoja wa nyumba mpaka upande mwingine. Na kina chake mbele ya hiyo nyumba kilikuwa metre tisa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 6:3
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyumba hiyo ambayo mufalme Solomono alimujengea Yawe ilikuwa na urefu wa metre makumi mbili na saba, upana metre kenda, na metre kumi na tatu na nusu urefu wa kwenda juu.


Aliiwekea nyumba hiyo madirisha mapana kwa ndani na membamba kwa inje.


Kiwanja cha nyumba ya mufalme kilikuwa na kuta zenye mustari moja wa mbao za mierezi na mistari mitatu ya mawe ya kuchongwa kila moja; ndivyo ilivyokuwa hata kwa kiwanja cha ndani cha nyumba ya Yawe na kwa baraza la nyumba.


Hiramu aliziweka nguzo hizo kwenye baraza ya hekalu; nguzo aliyoisimika upande wa kusini iliitwa Yakini, na ile aliyoisimika upande wa kaskazini iliitwa Boazi.


Halafu Daudi akamupa Solomono mwana wake mufano wa majengo yote ya hekalu, nyumba zake, hazina zake, gorofi zake, vyumba vyake vya ndani na pahali pa kiti cha rehema.


Kisha, alinipeleka kwenye baraza la kuingilia ndani ya nyumba ya Yawe. Akapima mulango, nao ulikuwa na kimo cha metre mbili na nusu na upana wa metre saba. Na kuta zake zilikuwa na unene metre moja na nusu kila upande.


Yule mutu akapima urefu wa jengo mpaka magaribi pamoja na mabaraza yake pande zake zote, nalo lilikuwa na urefu wa metre makumi tano. Chumba cha kuingilia katika hekalu, Pahali Patakatifu, na Pahali Patakatifu Sana,


Halafu Shetani akamupeleka katika Yerusalema, muji mutakatifu, akamusimamisha kwenye pembe la juu sana la hekalu, na kumwambia:


Yesu alikuwa akitembea ndani ya hekalu katika baraza iliyoitwa baraza ya Solomono.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ