Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 6:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Nyumba hiyo ambayo mufalme Solomono alimujengea Yawe ilikuwa na urefu wa metre makumi mbili na saba, upana metre kenda, na metre kumi na tatu na nusu urefu wa kwenda juu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 6:2
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Solomono alianza kujenga nyumba ya Yawe katika mwaka wa mia ine na makumi nane kisha Waisraeli kutoka Misri. Huo ulikuwa mwaka wa ine wa utawala wa Solomono juu ya Israeli, katika mwezi wa Zivu, ni kusema mwezi wa pili.


Uwanja wa baraza ya nyumba ulikuwa na upana wa metre ine na nusu toka upande mumoja wa nyumba mpaka upande mwingine. Na kina chake mbele ya hiyo nyumba kilikuwa metre tisa.


Vipimo Solomono alivyotumia kwa kujenga nyumba ya Mungu, vilikuwa kama hivi: urefu metre makumi mbili na saba na upana metre kenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ