Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Zamu ya kila mumoja ilipofika, alipeleka vilevile shayiri na majani ya kulisha farasi na nyama wanaokimbia mbio.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 5:8
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi na watu wote wa Israeli, walikuwa wanaimba nyimbo na kucheza kwa nguvu zao zote, mbele ya Yawe. Walipiga ala za muziki zilizotengenezwa na muti wa muvinje: vinubi, vinanda, matari, kayamba na matoazi.


Wale maliwali wake kumi na wawili, kila mumoja kwa mwezi aliopangiwa, walipeleka chakula cha kutosha kwa ajili ya mufalme na wale wote waliokula katika nyumba yake. Mahitaji yao yote yalitoshelezwa.


Mungu alimupa Solomono hekima zaidi na akili kwa wingi. Maarifa yake yalikuwa kama muchanga wa bahari, hayakukuwa na kipimo.


Upande wa ndani wa kuta za nyumba aliufunika kwa mbao za mierezi, kutokea kwenye sakafu mpaka kwenye boriti za dari; na sakafu akaitandikia mbao za miberoshi.


na mbao zake mbili zilikuwa za miberoshi; kila ubao uliweza kukunjwa mara moja.


Mufalme Solomono akawahesabu wageni wote waliokuwa katika inchi ya Israeli. Hesabu hii ni kama ile Daudi baba yake aliyofanya. Kulikuwa wageni yapata elfu mia moja makumi tano na tatu na mia sita.


Baraza ilifunikwa kwa mbao za miberoshi. Kisha kwa zahabu safi na kuchorwa mifano ya miti ya ngazi na minyororo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ