Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 5:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Inchi yote upande wa magaribi wa muto Furati, kutokea Tifusa mpaka muji wa Gaza, ilikuwa chini ya utawala wake. Wafalme wote upande wa magaribi wa muto Furati walikuwa chini yake, na alikuwa na amani na inchi zote jirani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 5:4
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Kwenda umwambie mutumishi wangu Daudi: Yawe anasema hivi: Si wewe utakayenijengea nyumba ya kukaa.


Resoni alikuwa adui wa Waisraeli siku zote za utawala wa Solomono, akamusumbua sana Solomono kama naye Hadadi alivyomusumbua. Basi, Resoni aliizarau inchi ya Israeli, naye alitawala inchi ya Aramu.


Lakini sasa, Yawe, Mungu wangu, amenijalia amani pande zote. Sina adui wala taabu.


Aliwapiga Wafilistini mpaka muji wa Gaza na inchi iliyouzunguka, kuanzia kwenye munara wa walinzi mpaka muji wenye kuta.


Hata hivyo, utapata mwana ambaye atatawala kwa amani kwa sababu nitamupa amani na waadui zake wote wa jirani. Jina lake litakuwa Solomono, kwa maana katika siku za utawala wake, atailetea inchi ya Israeli amani na utulivu.


Wafalme wenye nguvu wamepata kuutawala muji ule pamoja na jimbo la upande wa magaribi wa Furati wakilipisha kodi, malipo ya kuvuka mipaka na mengine.


Haki istawi maisha yake yote, na amani kwa wingi mpaka mwezi ukome.


Yawe ametoa neno juu ya Yakobo nalo litamupata Israeli.


Wakati ule, kanisa lilikuwa na amani katika Yudea yote, Galilaya na Samaria. Vilevile lilizidi kupata nguvu na kuendelea kumwogopa Bwana, nalo liliongezeka kwa musaada wa Roho Mutakatifu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ