16 Halafu Solomono akamupelekea Hiramu ujumbe huu:
Hii ndiyo jumla ya wakubwa waliohusika na uangalizi wa kazi ya Solomono: watu mia tano na makumi tano, hao ndio waliosimamia watu waliofanya kazi.
Kisha, Solomono akatuma ujumbe kwa Hiramu, mufalme wa Tiro, akamwambia: “Unitendee na mimi kama vile ulivyomutendea baba yangu Daudi, ulipomupelekea mierezi ya kujenga nyumba ya kifalme.