Wazao wako nitawafanya wakuwe wengi wasihesabike, kama vile mavumbi ya inchi. Kama vile vumbi isivyoweza kuhesabika, ndivyo wazao wako hawataweza kuhesabika!
Alimutoa katika kazi ya kuchunga kondoo na wana-kondoo, akuwe na madaraka ya kuchunga watu wa Yakobo taifa lake, achunge Israeli, watu wa pekee wa Mungu.