Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 3:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kwa wakati ule, watu walikuwa wakitoa sadaka kule juu ya vilima, kwa kuwa nyumba ya Mungu ilikuwa bado haijajengwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 3:2
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walijitengenezea vilevile pahali pa ibada, minara ya kutambikia, na sanamu za Ashera, juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila muti wenye majani mengi.


Lakini nafasi ya kutambikia miungu juu ya vilima haikuharibiwa. Hata hivyo, yeye alikuwa na moyo mwaminifu kwa Yawe maisha yake yote.


Alitenda mema mbele ya Yawe kama vile baba yake Asa alivyofanya.


Lakini hakuharibu nafasi ya kutambikia juu ya vilima. Watu waliendelea kutambikia na kufukiza ubani kwa nafasi ile.


ngombe wanono kumi, na ngombe makumi mbili toka shamba la malisho, kondoo mia moja pamoja na kulungu, paa, swala na kuku wanono.


Hata hivyo, nafasi za kuabudu miungu kwenye milima hazikuharibiwa, na watu waliendelea kutambika na kufukiza ubani kule.


Lakini hata hivyo pahali pa kutambikia miungu mingine katika Israeli hapakuharibiwa; lakini yeye alikuwa na moyo mwaminifu maisha yake yote.


Hata hivyo watu wakaendelea kutoa sadaka kwenye nafasi ya kufanyia ibada, lakini kwa Yawe, Mungu wao tu.


Walimukasirikisha kwa mazabahu zao za miungu; wakamutia wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.


Nitaharibu pahali penu pa ibada kule juu ya milima, nitabomoa mazabahu zenu za kufukizia ubani, na kutupa maiti zenu juu ya sanamu za miungu yenu. Roho yangu itawachukia kabisa.


Mufanye angalisho musitoe sadaka zenu za kuteketezwa pahali popote munapoona;


Wale wabinti wakawajibu: “Ndiyo, yuko. Tena yuko mbele yenu; mukifanya haraka mutamukuta. Ameingia katika muji leo tu, kwa sababu leo watu watatoa sadaka kule kwenye mulima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ